LYRICS: Nakuchukia by Rabbit Featuring Sudi Boy

Song: Nakuchukia
Artist: Rabbit(Kaka Sungura) ft Sudi Boy
Mixtape: Kaka Sungura na wenzake (before the Orutu)
Produced by: Kaka Empire Studios (Sappy)

(u la la la la la)
Rabbit, Kaka Sungura, Sudi Boy, Sappy.  hii ni ingine mzeiya!

Chorus
ulichotaka nilikupa, ukaniona bwege
sina maana, leo unataka nini tena?
u wo wo wo wo wo wo
ungejua navyo
kuchukia*4 kuchukia sana
ungejua navyo
kuchukia*4 kuchukia sana

Verse 1
tulikuwa na chemistry Baby ile videadly
but after Bio ukawa physics sikuelewi
hii ndio inaitwa love story, something out of a movie
kama ni ring za Ruby, nilibuy zile za bluish
kama ni plaka ya ujuzi, ilikuwa perfect nilioverdo it/
mabeste wake walishika nare, wengine ata waliloose it/
juu sijawai mslap kaa Lucy, love yangu ilikuwa ya mchuzi/
hakuna Mbrrrrrrrcha ka Mbusi, until hivi majuzi/
nilipoanza tour kanda, 'Orutu Ya Masudi'
nilitaka awe na life poa, after four months Caldina
to Four bedroom mahali ataweka shoes na dress za dinner
akaanaza kuAct funny kama  episode ya Churchill
anakaa tu Ndeeee! na pia aliquit kazi/
analeta tu Streess kila saa ni mahitaji/
nikapata text inasema 'i love you uko beautiful'/
na yake inasema - 'i love you too'

(Chorus)

Verse 2
ambia mothako awache kunipigia, akina Patricia pia/
si uwaambie kile ulifanya, ama bado haujawaambia/
naregret kukupenda na ujue uliwaste time yangu/
sidhani ka una roho na kama uko nayo ni chafu/
ile frame ulibuy Maasai Market, niliivunja nikaichoma/
ile dinner dress, viatu, vitu ulitreasure vinoma/
anajitetea niliwacha kumpenda nikapenda doh/
sikutaka akuwe begger, tuliidiscuss before/
na ye akadecide kunicheza, kaa Samuel E too
nilidhani unaClass urembo ukuja na standards/
kumbe yeye si smart, preety cheap kama pamba/
umenifika Hapa!Wapi? hapa!
vuta hizo crocodile tears, si ulijifanya Mamba/
umenifika Hapa!Wapi? hapa!
ntakupa hizo vitu za nyumba, lakini moja itakuwa ngumu
gari enda nayo lakini roho yangu ntampa Mungu!

(Chorus)
umenifika Hapa!Wapi? hapa! *4

(Chorus)
 
Share on Google Plus

About Anonymous

He is the CEO of Cityville Mombasa. Reach him on 0728622801 or gangsta6g@gmail.com