Bittoz Alleged Lover To Eve Queen, Terms her aProstitute!!!?


05/11/2013
After Eve Queen put messages on public of how they ve been communicating with the allegedly father of her child, it seems it has gone raw.
Eve  decided to put what they were communicating on facebook. Some of the messages that she has been receiving from Bittoz who is believed to be her lover.
 Below is an extract of one of the  messages.


Bitoz Shattah
12:28am
Bitoz Shattah

Eve bila shaka upo mzima wa afya ni kipindi kirefu kimepita tangu utambue nizururi lipi na baya lipi umenitendea sikulaumu hakuna binadamu aliye kamilika. umenipa wakati mgumu kufumba na kufumbua mboni ufinyo wangu unatizama mengi Eve sio siri nakupenda kwa dhati hilo unalitambua kwa kina. ndani ya umbo la mwili wangu niko na roho sina jiwe nipia niko na hisia zakutafakari baya na zuri ulio nitendea. Eve sio urongo unatambua ulinivukia mipaka na istoshe ukanitambulisha dunia ya pili ambayo ni (jela jiraha) tangu nizaliwe sijawai ingia izo sehemu. sina ubaya na wewe wala sikuchukii…… kipindi hiki cha sasa nimetokea kukuogopa sana zaidi ya sana hua nikikutizama nalia kwa uchungu sana… Niko na mengi moyoni ila roho inasota kuyasema.
Eve Adhiambo
2:45am
Eve Adhiambo

Bitoz najua nilikukosea sana pole.
Bitoz Shattah12:59am
Bitoz Shattah

Mama Eyden pia umeniblock ila sawa tu.

Bitoz Shattah
1:26am
Bitoz Shattah

Hi mama Eyden hw is u bado sijasahau jinsi nilivyo kweleza.
Bitoz Shattah
1:50am
Bitoz Shattah

sawa kuni unlock utaki kuongea na wewe ni mpaka unipigie wewe yote kwaajili umeniblock.

This is also waht she posted in her facebook.

“Kweli ukiona mwanamume saa zote ana andika mama jua ana kasoro, ana tabia za kike! Bitoz wacha kuniandika kwa fb yako! Kama wewe ni mume face me! Mimi ni gari kubwa sana uwezi niendesha! Nyumba yako kunguni tele zimekushinda mimi ndo utaniweza? Grow up and get a life! SIKUTAKI


Now Bittoz has come out calling Eve Queen a Prostitute.
He put the picture above on his wall captioning it.

Kusumbuliwa na makahaba wa mombasa sitaki? Black list
Share on Google Plus

About Walexx

He is the CEO of Cityville Mombasa. Reach him on 0728622801 or gangsta6g@gmail.com