Controversies over Musicians Switching Studios.. Susumila Defends himself.

10/09/2013
Susumila wrote on his wall about his music life and how he started music. It was hard for him as it usually is for all upcoming Musicians. this was like a response to those who say he is switching Recording labels.
This is what he said:
"Jst 2 clarify something,nilianza mziki hakuna aliekua na imani namimi kuna wakati niliongea na Nuru Mwamba anisign akanitolea za nje nikaenda GreenHouse nikawa nafagia studio nakuchukua watu vocalz nikijifundisha production polepole,no one believed in me,mchezomchezo nikajitengezea SIASA DUNI ikawa hit kubwa,nikajitengezea NGANGARI KINOMA ikawa hit nikajitengezea SIANZI LEO then nikamuonyesha Chapatizzo production akaanza kunifanyia hit baada ya hit,hio time yote I was paying studio fees ya 5k kila wimbo so whoever iz complaining abt me switching studios kwanza u have 2 knw pale nimetoka,no one did me favours wen I was down,I only have God n my fans n K short for giving the oportunity 2 learn things the hardway,thanx 2 DONDE SAMORA,PETER ADAMZ,NZULA MAKOSI,DJ LENIUM,MZAZI TUVA na Madeejay walio nipa nafasi wakati sijulikani MSA hii na wala sikuwahi kuwapa hata shillingi.."
 But when we want to know why he had to say this because it really doesn't matter where one does his music, we got this....
Kaa La Moto wrote on his wall this:


Je unajua.wazazi wa kweli watabaki kutambulika.22 Sudi boy Daddy Sele Fat S Adio rudini kwa Emm D.Susumila Kidiz Jagucaz umemwacha Chapatiizo ndio kuzorota kw K short.Chikuzee Pro Amz Pro Tee Dazla mkumbukeni Morbiz.Nyota Ndogo Ali b rudini kwa mzazi Totti.Rude boys Lady Zp mpo wapi wakati Nuru Mwamba yupo.Dah nyumbni nyumbani hata kama kichakani..
Could he(Susumila) referring to this? Maybe, maybe not. We are yet to get it.
Keep it Cityville Mombasa
Share on Google Plus

About Walexx

He is the CEO of Cityville Mombasa. Reach him on 0728622801 or gangsta6g@gmail.com